Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania

lbl_iso_certified

Dira na Dhamira

Maono

Kuwa chombo mahili katika kutoa huduma za afya ya mimea  inayoongoza kwa mamlaka ya udhibiti wa kiwango cha kimataifa katika udhibiti wa visumbufu na viuatilifu.

Dhamira

Kutoa udhibiti madhubuti na wa huhakika katika afya ya mimea na viuatilifu ili kuwezesha biashara salama ya kitaifa na kimataifa ya mimea na mazao ya mimea.